Thursday, 25 August 2016

JIUNGE/JIADD WHATSAPP MWENYEWE BILA ADMIN KWA WHATSAPP LINK



Whatsapp imeongeza muonekano wake katika upande wa Kuonfoza wahusika jatika group. Wengi tumezoea kuwekwa kwenye group na kiongozi wa kundi (Admin). Lakini WhatsApp wamewezesha mtu kujiadd mwenyewe katika kundi bila hata ya kuadiwa na Admin. Mtu atajiadd mwenyewe endapo atapata ujumbe wa mualiko(invitation link) kutoka kwa kiongozi(admin) wakundi. Lakini ukiangalia katika whatsapp yako hutaona Mahali palipo andikwa invite with Link. Hivyo basi ili kupara huo muonekano Fuatana nami kwa hatua zifuatazo ili ufanikishe kutengeneza invitation link.
1.uninstall/ondoa whatsapp yako uliyo nayo sasa na  Udownload Wa Prime kwa KubonyezaHapa.

2.Baada yavkudownload Hiyo whatsapp install Kisha ifungue na kufanya usajili kwa mara nyingine na namba yako ile ile.

3.Baada ya kufanya Usajili Ingia kwa group unalotaka ku invite watu  ili wajiunge. Kumbuka ili kutengeneza hii link lazima uwe admin wa hilo group unalotaka kutengeneza Link.

4.Baada ya kuingia kwa hilo group Bonyeza juu walipo andika Group info  Kisha Bonyeza  palipoandikwa Add participant Hapo utaona Sehemu iliyo andikwa invite to group via link.




Hapo utaipata link ya group na kuisambaza kwa rafiki zako ilibwajiunge...


Mfano wa Link ya group tuliyo itengeneza na jinsi link inavyokaa ni hii hapa pia wawezacbonyeza na kujiunga nasi.
 https://chat.whatsapp.com/invite/BMGiNNC7fLCCXhRZMOlAdb

KUMBUKA ILI UTENGEZE HIYO LINK LAZIMA UWE NA WA PRIME, PIA UWE ADMIN KWA GROUPUNATOHITAJI KUTENGEZA HIYO LINK 

***************MWISHO*******

1 comment:

  1. Enter your https://chat.whatsapp.com/HnM17xKkTiZ2ZXoY7yPHyj...

    ReplyDelete